Bunge la Taifa liridhie ripoti ya Kamati ya Utangamano wa Kikanda kuhusu ziara ya ukaguzi…
Motion text
KWAMBA, Bunge la Taifa liridhie ripoti ya Kamati ya Utangamano wa Kikanda kuhusu ziara ya ukaguzi kwa Taasisi zisizo huru kikamilifu za Jumuia ya Afrika Mashariki na ushoroba wa kati katika Jamhuri ya muungano ya Tanzania, iliyowasilishwa kwenye Meza ya Bunge Jumatano, 9 Aprili 2025.
Tracker remarks
Kusubiri mjadala
Source: parliament.go.ke. Last updated 5 Jul 2026.